MARKETING TERRORIST IN TZ COMPETITIVE FIELDS.

UTAMPIGAJE MREMBO KAMA HUYU?

UTAMPIGAJE MREMBO KAMA HUYU?

Monday, March 30, 2015

LOVE YOU JESUS

Mungu ni wa ajabu hata kama ukiwa mtenda mabaya ukirudisha moyo wako nyuma anakusamehe.@SALAAMU ZA PASAKA.

SALAAMU ZA PASAKA

Tukiwa tunamalizia kipindi cha kwaresma kwa wakristo wote tunaotumia muda huu wa mfungo wa siku 40 kukumbuka mateso aliyoyapata Shujaa wetu YESU.
Napenda kuwashukuru wakristo wote na wote walioungana nasi katika tafakuri hii ya mateso kwa MKOMBOZI wetu wa kiimani kuwa hatimaye tunaelekea IJUMAA KUU hapo tarehe 03/04/2015 na baadae pasaka.
Ushauri wangu ni kuwa tutumie tafakuri hii kudumisha upendo miongoni mwetu na kwa taifa.
AMEN.
MGANYIZI@Blogger.

Friday, December 24, 2010

MGOMO SIO

COST SHARING NI KITU KIZURI KWANI UNASABABISHA WALIMU NA WASIOKUA WALIMU KUJITUMA KWA MOYO HIVYO KUTUWEZESHA KUPATA ELIMU BORA,INAYOENDANA NA SOKO,TUJENGE HOJA KAMA KUNA JAMBO CO TUNAKIMBILIA KWA WAZIRIRI MKUU ,MMEAMBIWA ALIAPISHWA KUTAZAMA MATATIZO YENU PEKE YENU.
MPASUKO ULIOPO KATI YA FOCB FINALISTS  MWAKA WA TATU CO POA MSIJIONE ELIMU MLIYOIPATA INATOSHA.HESHIMA KITU CHA BURE.LITAFAKARI HILI TUNAPOJIANDAA KUUPOKEA MWAKA MPYA 2011,KILA JAMBO LINA WAKATI WAKE WAKATI WA KUBOMOA NA WAKATI WA KUJENGA,WAKATI WA KUCHEKELEA NA WAKATIWA KULIA.SO TAKE DA RIGHT DECISION FOR YOURSELF AND DO NOT RELY ON OTHER"S OPINION,INTERESTS.